P FUNK ATWEET NAKUSEMA HATAKI KUSIKIA TENA NYIMBO ALIZOREKODI YEYE ZA MAREHEMU MAGWAIR ZIKIPIGWA CLOUZ FM



Muda mfupi uliopita djchoka amepokea simu kutoka kwa Producer mkongwe hapa bongo anayejulikana kwa jina la P Fuck Majani na kumuuomba aipokee msg hii hapa chini na kuwaomba watanzania walijue hili na baadae atatoa barua rasmi.

No comments

Powered by Blogger.