Ukarabati wa barabara ya Ipelele - Bulongwa wilayani Makete unaendelea kwa kasi kama unavyoona hali inayohusishwa na ujio wa waziri mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda ambaye anatarajiwa kuja Makete Julai 8 mwaka huu, na anatarajiwa kupita kwenye barabara hii. Pia barabara hii ambayo
inategemewa ni kiunganishi kizuri cha wilaya ya Makete na mkoa
jirani wa Mbeya (Picha na Edwin Moshi, Makete)
-




No comments:
Post a Comment