HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AKUTANA NA MABALOZI WAPYAWA TANZANIA IKULU LEO



Rais wa Zanzibarna Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na mabalozi Wapya wa Tanzania walioteuliwa hivi karibuni kwenda kufanya kazi Nchi za Nje,walipofika kumuaga Rais leo,mazungumzo yalifanyika katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanziba
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na mabalozi Wapya wa Tanzania walioteuliwa hivi karibuni kwenda kufanya kazi Nchi za Nje,walipofika kumuaga Rais Ikulu Zanzibar leo,na kufanya mazungumzo na Rais Shein. 
Rais wa Zanzibarna Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamja na mabalozi Wapya wa Tanzania walioteuliwa hivi karibuni kwenda kufanya kazi Nchi za Nje,walipofika kumuaga Rais leo,mazungumzo yalifanyika katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,{Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: