HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » WATU 30 WANUSURIKA KUFA BAADA YA BASI LA SAI-BABA KUPATA AJARI ENEO LA VIGWAZI MKOANI PWANI

Ni watu 30 wamenusurika kifo huku 21 wakipata majeraha mbalimbali wakiwa kwenye basi la Saibaba lilipota ajali likitokea Dar es salaam kwenda Songea kwenye eneo la Vigwaza mkoani Pwani.
Polisi wanasema ajali imetokea asubuhi baada ya hili basi hilo likiwa na abiria 51 kutaka kulipita gari jingine likiwa kwenye mwendo kasi lakini likamshinda dereva na kupinduka ambako haraka majeruhi walikimbizwa hospitali ya Tumbi Kibaha.


Endelea kutizama  picha za ajali kwa kubofya hapa chini




 PICHA NA MCHOMEBLOG.COM

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: