Rais Kikwete akitoa neno la Matumaini katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2013.
Endelea kusoma habari hii kwa kubofya hapa chini
Wabunge wa Simba na Yanga wakipasha misuli kabla ya mtanange wao kuanza.
Wabunge wa Simba na Yanga wakipasha misuli kabla ya mtanange wao kuanza.
Wabunge wa Simba na Yanga wakipasha misuli kabla ya mtanange wao kuanza.
Rais Kikwete akielekea kukagua timu.
Mwimbaji nyimbo za injili, Martha Mwaipaja akiwa kazini
Mwimbaji nyimbo za injili, Sarah K akiwapa raha mashabiki.
Mwimbaji nyimbo za injili, Jessica akiwaburudisha mashabiki.
Akiwakagua Yanga.
MMhhh Umeshiba au?
Rais Kikwete akisalimiana na Halima Mdee

Rais Jakaya Mrisho Kikwete kabla ya kupuliza kipenga kuashiria kuanza kwa mechi ya wabunge Simba na Yanga.
Wachezaji wa Yanga (wabunge) wakishangilia baada ya kuwalaza watani wao Simba (Wabunge) kwa penati 4-3.
Bongo Fleva wakisherehekea ushindi wao.
Bongo Muvi baada ya kichapo.
SOURCE: GPL

































No comments:
Post a Comment