HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » 42 WAUAWA, 350 WAKIJERUHIWA KATIKA MILIPUKO ULIOTOKEA NJE YA MSIKITINI NCHINI LEBANON

 
MILIPUKO mikubwa miwili imetokea leo nje ya misikiti katika jiji la Tripoli lililopo Kaskazini mwa Lebanon jirani na Syria. Katika milipuko hiyo, watu 42 wanadaiwa kupoteza maisha, wakati 350 wakijeruhiwa. Milipuko hii imeongeza mvutano nchini Lebanon ikiwa ni matokeo ya vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea nchini Syria kati ya wafuasi na wapinzani wa utawala wa Rais wa Syria, Bashar Assad.
 Wananchi wakiwa wamekusanyika eneo la mlipuko nje ya msikiti wa Sunni uliopo jijini Tripoli, Lebanon.
 
 Wananchi wakiangalia uhalibifu uliotokea baada ya mlipuko.

Endelea kutizama tukio hili kwa kubofya hapa chini


 Magari yaliyohabiriwa katika mlipuko huo.
Mwananchi huyu akchukua picha katika simu yake ya mkononi.



 



Source: Yahoo

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: