HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » MTANZANIA AKAMATWA AKIWA NA MADAWA YA KULEVYA UNITED ARAB EMIRATES (UAE)


Wimbi la watanzania kusafirisha madawa ya kulevya linaendelea kushika kasi na tarehe 19/8/2013 polisi mjini Sharjah na wale wa Dubai wamefanikiwa kuwakamata watu watano , mmoja wapo raia wa Tanzania wakiwa na kilo 19 za Heroin na kilo 4 za Bangi. Kwa sheria za hawa jamaa kuhusu madawa ya kulevya ni kifungo cha maisha.


 Endelea kusoma habari hii kwa kubofya hapa chini
 

Source: Gulfnews

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: