HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » MWENGE WA UHURU WAZINDUA MADARASA YA SHULE YA SEKONDARI YA MIGOMBANI

 Kiogozi wa mbio za mwenge Ndugu Juma Ali Simai akikata utepe wa jengo la Shule ya Sekondari ya Migombani wakati wa uzinduzi iliyoko Tabata Segerea jijini Dar es Salaam.(Picha na Pamojapure Blog)
 Kiogozi wa mbio za mwenge Ndugu Juma Ali Simai akizindua jengo la Shule ya Sekondari ya Migombani iliyoko Tabata Segerea jijini Dar es Salaam
 Mkimbiza mwenge ndugu Seperatus N. Lubinga akitoa neno kwenye kwenye uzinduzi wa wa jengo la shule ya sekondari ya Migombani leo
 Mkimbiza mwenge akizungumza jambo kwenye uzinduzi wa jengo la shule ya Migombani leo mchana wa leo.ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI


 Kiogozi wa mbio za mwenge Ndugu Juma Ali Simai(kushoto) akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mh. Raymond Mushi katika uzinduzi wa jengo la Shule ya Sekondari ya Migombani wakati wa uzinduzi iliyoko Tabata Segerea jijini Dar es Salaam
 





 


«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: