Dereva wa bodaboda aina ya Bajaj Boxer yenye namba za usajili T 344 CDJ ambaye jina lake halikuweza kupatikana akiwa amemepoteza fahamu ya kumgonga mama mjamzito aliyekuwa anakatisha barabara eneo la Kigogo Luhanga leo jijini Dar es Salaam
Wasamaria wema wakimpepea dereva wa bodaboda baada ya kumgonga mama mjamzito na baada ya kugongwa mama huyo anayedaiwa kuwa chanzo cha ajali hiyo alitoka mbio baada ya tukio hilo kutokea.
ENDELEA KUSOMA HABATI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI
Wasamaria wema wakimsogeza pembeni ya barabara dereva wa bodaboda.
No comments:
Post a Comment