HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » TPF6: HAKUNA MTANZANIA ALIYEINGIA KWENYE PROBATION WIKI

 
Washiriki walioingia kwenye probation
 Watanzania hawana haja ya kuwaza wiki hii kwakuwa wawakilishi wao kwenye shindano la Tusker Project Fame msimu wa sita, Hisia na Angel wako salama.
Jumla ya washiriki watano wameingia kwenye probation wiki hii ambao ni Jennifer, Bior, Fess, Undercover Brothers na
Mitchel.

Undercover Brothers


 ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI


Fess
Akielezea sababu za washiriki hao kuingia probation, Jaji Ian alisema mwaka huu shindano hilo halitafuti wasanii wa kawaida bali wenye vipaji na uwezo mkubwa zaidi Afrika Mashariki.
Mitchel

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: