HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » AJALI YATOKEA IRINGA MJINI USIKU HUU

 TAXI  inayoegeshwa  eneo la Posta  mjini Iringa  imegongwa  vibaya  eneo la Idara ya maji mjini Iringa usiku huu na  watu kadhaa kunusurika  kifo  ajali  hiyo  imetokea  mida  ya saa 2.30 usiku huu hakuna aliyepoteza maisha  zaidi ya mfanyakazi wa kituo cha mafuta cha Gapco mshindo kujeruhiwa 
Hili ndilo gari lililosababisha ajali katika barabara kuu ya Iringa - Dodoma 

CHANZO: FRANCIS GODWIN

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: