Huyu ni mtanzania aliyevamiwa huko Nairobi na kuumizwa
vibaya hapo jana na amejitamburisha kwa police waliomuokota kama Dr.Juma Maliki
.Tunapenda kuwaomba yeyote anayemfahamu awasiliane na na ndugu zake maana ana
hali mabaya na hakuna aliyejitokeza kumjua .Amelazwa Kenyatta National Hospital
na hakuna taarifa zaidi ya hizi.(na kwa sasa hawezi kuongea)
CHANZO: JAMII FORUM




No comments:
Post a Comment