HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO TAREHE 28/11/2013

WIZARA YA UCHUKUZI

MAMLAKA  YA HALI YA HEWA

S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM

Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz


UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
            TAREHE 28/11/2013.

[Mikoa ya Kigoma, Shinyanga na Tabora]:
[Mikoa ya  Kagera, Mara, Mwanza, Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
[Mikoa ya Iringa, Mbeya na Rukwa]:
[Mikoa ya  Ruvuma na Morogoro(kusini)]:





Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
[Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Singida na Morogoro (kaskazini]:
[Mikoa ya Dar-Es-Salaam na Pwani]:  
[Mikoa ya Lindi, na Mtwara]:



Hali ya mawingu kiasi, mvua katika  maeneo machache na vipindi vya jua.

[Mkoa wa Dodoma ]:

Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika  maeneo machache na vipindi vya jua.



VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:

MJI
Kiwango cha juu cha joto
Kiwango cha chini cha joto
Mawio (Saa)
Machweo (Saa)
ARUSHA
26°C               
15°C               
12:12
12:26
D'SALAAM
32°C           
24°C
11:55
12:21
DODOMA
31°C
20°C
12:11
12:33
KIGOMA    
28°C
21°C
12:37
12:55
MBEYA
21°C
14°C
12:16
12:46
MWANZA
27°C
20°C
12:28
12:39
TABORA
27°C
18°C
12:25
12:43
TANGA
32°C
23°C           
12:00
12:18
ZANZIBAR
31°C           
24°C           
11:55
12:21

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 20 kwa saa; 
kutokaKusini Mashariki kwa Pwani ya Kaskazini na kutokaMashariki kwa Pwani ya Kusini.
                             
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Madogo.  
                           
Matazamio kwa siku ya Jumamosi: 30/11/2013: Mabadiliko kidogo    
                                                                       
Utabiri huu umetolewa leo tarehe 28/11/2013.

Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

CHANZO: TABIANCHI

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: