HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » WAJERUMANI WAIPOTEZEA MECHI YA KIRAFIKI DHIDI YA ENGLAND WEMBLEY JUMANNE, TIKETI HAZITOKI IPASAVYO


Uwanja ulitapika: Mashabiki wa Ujerumani walijaza uwanja wa Wembley mwezi mei mwa huu kushuhudia Bayern Munich ikimtwanga Dortmund na kunyakua ubingwa wa UEFA   
 
Baada ya miezi sita kupita tangu Wajerumani wafurike Wembley kushudia mechi ya fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya, wajerumani wameonekana kutovutiwa sana na mechi ya kirafiki baina ya timu yao dhidi ya England uwanjani hapo.
Msahabiki wa  Bayern Munich na Borussia Dortmund walivamia maelfu ya tiketi mwezi mei mwaka huu, lakini mpaka sasa tiketi chini ya elfu moja zimeuzwa kwa mashabiki wanaotarajia kusafiri kuishangilia timu ya kwenye mchezo wa kirafiki wiki ijayo baina ya wapinzani wao wa siku nyingi, timu ya Taifa ya England dimba la Wembley.
Mechi hiyo kali ya kirafiki ni maalumu kwa Chama cha soka nchini England, FA  kuadhimisha miaka 150

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: