HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » KAMERA YETU LEO WAKATI TUNAELEKEA MWENGE JIJINI DAR ES SALAAM

 Sasa hili gari limeharibikia katikati ya barabara na hakuna utaratibu wowote wa kulitoa barabarani aliwezi kuleta ajari au foleni zisizo za msingi
 Hili ni foleni la Ubungo tulilokutana nalo leo

ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI


 Kumbe foleni ilisababishwa na haya magari yaliyogongana eneo la Ubungo mataa
 Hata huku barabara ya Sam Nujoma hali ilikuwa vilevile maana kila mtu anataka kuwa wa kwanza
Sasa hapa unaweza kujiuliza wako barabara gani maana hawa ndio wanaosababisha foleni

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: