HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » MAJERUHI WALIOPATA AJALI KWENYE BASI LA BURUDANI WAPELEKWA HOSPITALINI KOROGWE KWA MATIBABU ZAIDI


Hospitali ya wilaya ya Korogwe.
Basi la Burudani leo limepata ajali maeneo ya Kabuku - Korogwe , watu 12 hadi sasa wamefariki na majeruhi zaidi ya 55. Watu 4 wamepelekwa MOI na KCMC. Tuwaombee majeruhi.
Majeruhi wakipatiwa matibabu.


ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAP CHINI
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo ( kushoto) akiangalia mmoja wa majeruhi akipatiwa matibabu.

Manesi wakiendelea na matibabu kwa majeruhi.
Mmoja wa majeruhi akiwa amelazwa kwenye benchi.
Wananchi wakiwa eneo la Hospitali.
PICHA ZOTE NA MKUU WA WILAYA YA KOLOGWE

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: