Hospitali ya wilaya ya Korogwe.
Basi la Burudani leo limepata ajali maeneo ya Kabuku - Korogwe , watu 12 hadi sasa wamefariki na majeruhi zaidi ya 55. Watu 4 wamepelekwa MOI na KCMC. Tuwaombee majeruhi.
Manesi wakiendelea na matibabu kwa majeruhi.
PICHA ZOTE NA MKUU WA WILAYA YA KOLOGWE
No comments:
Post a Comment