HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » YANAYOENDELEA KUJIRI KWENYE MKUTANO WA TAHLISO 2013/2014

        Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi  ya TAHLISO  wakiwa katika picha ya Pamoja
  Mwenyekiti wa Muda aliyeratibu upatikanaji wa tume  Bi. Teddy  Ladislaus   ( Makamu wa Rais wa  Chuo cha Mzumbe) akihitimisha  zoezi hilo hapo jana.


ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI


    Mwenyekiti wa Muda aliyeratibu upatikanaji wa tume  Bi. Teddy  Ladislaus   ( Makamu wa Rais wa  Chuo cha Mzumbe) akisalimiana na Katibu wa Tume ya uchaguzi Bi. Fatma Othman , Katikati ni  Mwenyekiti wa Tume hiyo Bw.Mansou Mshauri.
    Mwenyekiti wa Tume Bw.Mansou Mshauri. akizungumza  na  wajumbe wa Mkutano mkuu  wa TAHLISO
   Tume iliyochaguliwa ikiwa  mbele ya Mwenyekiti wakati wa kula kiapo kabla ya kuanza kazi hapo jana

HAWA NI BAADHI YA WAGOMBEA

                             
 Bw.  Katumbi  Edmund .J   Rais wa St. John Dodoma

 Bi. Tusubilege  Benjamin  Makamu wa Rais  Chuo kikuu cha Dar es saalam
 Bw. Hermed   Ally  (Kushoto) Rais wa IFM

                                Bw.Musa Mdede  (Kulia) Rais wa Chuo cha  Bugando

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: