HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » MSANII WA BONGO MOVIE, NISHA AZIDI KUPASUA ANGA KWENYE TASNIA HIYO

Msanii mkubwa wa filamu Tanzania, Salma Jabu kwa jina la usanii anaitwa Nisha amezidi kupasua anga baada tathimni ya mashabiki wake kuongezeka kila siku na mpaka akiingia kwenye mialiko mikubwa watu wana weweseka na kutaka kupiga picha nae na filamu zake kugombaniwa na media mbalimbali kutaka kuzitangaza yeye mwenywe anaema ana mshukuru mungu hapo alipofikia.


«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: