HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » MWILI WA MTOTO NASRA WAAGWA KWENYE KIWANJA CHA JAMHURI NA KUZIKWA LEO

Mamia ya wakazi wa Mkoa wa Morogoro waliojitokeza Kuuga Mwili wa mtot Nasra
 Mwili wa mtot Nasra ukipelekwa makaburini Kuzikwa

 ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI

 Waombolezaji wakiwa Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro, kuaga mwili wa mtoto Nasra Mvungi.
 Mfanyabiashara, Al Saed Omary aliyefanikisha kuleta mwili wa marehemu Nasra kutoka Dar es Salaam.
 Waombolezaji wakiingia katika mabasi ya Abood, kwenda katika maziko.
 Mazishi ya mtoto Nasra yaliendelea makaburi ya Kola mkoani Morogoro.
 Mbunge Abdulaziz Abood akiweka udongo katika kaburi la marehemu Nasra na kuahidi kumfanyia hitma baada ya siku 40 tangu kuzikwa kwake.
Mfanyabiashara Al Saed Omar nae akiweka udongo katika kaburi la marehemu.

Picha kwa Hisani ya Father Kidevu Blog

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: