Msanii Salma Jabu “Nisha" atamani kuwa balozi wa kuzuia kutumikishwa kwa wanawake kwenye madangulo na kunyanyaswa kijinsia kwa tamaa ama kwa vyovyote vile
kwa kufanya biashara ya kuuzwa kwa miili yao tena wanawake wakubwa huwanyanyasa
watoto ambao wana umri wa kwenda shule umefika lakini wao wana tumikisha kufanya
biashara ya ukahaba kwenye madanguro na wengine kupata matatizo makubwa.
Sasa Nisha ameamua kutengeneza filamu ya Zena na Betina kuelimisha mambo ambayo
yanaendelea sasa hivi sehemu mbalimbali hapa Tanzania na nchi za nje
No comments:
Post a Comment