HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » VIBANDA VYA PEMBEZONI MWA KITUO CHA MWENGE VYABOMOLEWA

 Hivi ndivyo kituo cha Daladala cha Mwenge kilivyo bomolewa asubuhi ya leo
 Hiki kilikuwa Choo cha kulipia kilichokuwa Mwenge nacho kikiwa kimebomolewa.

 ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI


 
 Ulinzi ukiwa umeimarishwa
 Kazi ya Kubomoa na kuondoa vibanda ikiwa inaendelea Mwenge
 Askari wa FFU akiwa anazuia watu wasipite eneo ambalo kulikuwa na kazi ya Bomoa bomoa ikiendelea
 Mashuhuda wakiwa wanashuhudia ubomoaji ukiendelea
 Hili lilikuwa eneo la kupumzikia zamani la Abiria kungoja usafiri nacho kikiwa kimebomolewa
 Mabaki ya Vibanda
 Mmoja wa Mgambo akiwa amebeba Meza kupeleka eneo husika Tayari kwa kuzikusanya kuzipeleka eneo husika
 Kazi ya Ubebaji Meza na Mabaki ya Vibanda ikiendelea
 Mashuhuda wakiongezeka
 Moja ya eneo ndani ya Mwenge walipo hifadhi baadhi ya Meza za Biashara

 Bomoa Bomoa ikiendelea upande wa Juu Mwenge
 Hapa walikuwa wanabomoa Sehemu zote za vibanda zilivyo zidi mbele
 Mgambo anafanya kazi bila Air Mask wakati kazi inaendelea ya Bomoa bomoa

 Mashuhuda upande wa Juu Mwenge
 Ulinzi ukiwa umeimarishwa kila sehemu
 Hapa ilitaka kutokea Shoti ya Umeme Baada ya gari la kubomoa kupita sehemu ambayo kuna waya wa umeme, TANESCO hawajazima umeme eneo hilo jambo ambalo ni Hatarishi.
Hali Halisi baada ya eneo hilo kubomolewa

Picha na Dar es salaam yetu Blog

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: