MAMIA WAMUAGA MWANDISHI WA HABARI WA NEW HABARI 2006 LTD, MAREHEMU INOCENT MUNYUKU

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.



Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa Mwandishi wa Habari za Michezo wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd marehemu Inocent Munyuku wakati wa kuaga mwili katika hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam leo.
 Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa Mwandishi wa Habari za Michezo wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd marehemu Inocent Munyuku wakati wa kuaga mwili katika hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam leo.


ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI

 Matinyi akisoma wasifu wa marehemu.
 Mwakilishi wa klabu ya Yanga, Said Motisha akitoa salama za rambirambi kwa niaba ya klabu yake ambapo alitoa ubani wa sh. laki tano.
 Motisha akikabidhi ubani wa sh. laki tano.
 Mmoja wa watu waliosoma na marehemu Munyuku akitia salama za rambirambi ambapo walitoa sh. laki tatu.
  Katibu Mkuu wa Taswa, Amir Mhando akitoa salama za rambirambi.
 Mhariri Mtendaji Mkuu wa New Habari 2006 Ltd, Absalom Kibanda akitoa salam za rambirambi.
 Mwakilishi wa familia, Mkuchika akitoa neno la shukrani.
 Rashid Kejo akitoa salama za rambirambi.
 Mwakilishi wa Uhuru Publishers akitoa salama za rambirambi na ubani wa sh. laki mbili.
 Waombolezaji wakielekea katika gari kwa ajili ya safari ya Morogoro kwa mazishi ya marehemu Inocent Munyuku.
 Mwili wa marehemu Munyuku ukiingizwa katika gari tayari kwa safari ya kwenda mkoani Morogoro kwa mazishi.
 Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd wakiwa katika hospitali ya Lugalo wakati wa kuaga mwili wa marehemu Inocent Munyuku.
 Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa katika hospitali ya Lugalo wakati wa kuaga mwili wa Mwandishi wa Habari wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd, marehemu Inocent Munyuku.
 Mwandishi wa gazeti la Jamhuri, Alfred Lucas (kushoto) na Limonga Justine Limonga wa Radio Uhuru.
 Waombolezaji.
 Msanifu Mkuu wa Kurasa wa gazeti la Tanzania Daima, Emily Maya akimpa pole Mhariri Mtendaji Mkuu wa New Habari 2006 Ltd, Absalom Kibanda.
Mkurugenzi wa Global Publisher, Eric Shigongo akiteta jambo na Mhariri Mtendaji Mkuu wa New Habari 2006 Ltd, Absalom Kibanda.


 Mwandishi wa habari wa gazeti la Hoja, Iche Mang'enya akitoa heshima za mwisho.
 Mhariri Mtendaji Mkuu wa New habari 2006 Ltd, Absalom Kibanda akitoa heshima za mwisho. Kushoto Mwandishi wa habari wa gazeti la Hoja, Iche Mang'enya akitoa heshima za mwisho.

No comments

Powered by Blogger.