Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.
Mvua inayoendelea kunyesha jijini Dar, tayari imeanza kusababisha kero kwa wakazi wa jiji hilo kufuatia mitaro ya maji machafu kufurika na kuwafanya watu washindwe kutumia vizuri barabara.
Miongoni mwa maeneo yaliyoathiriwa na mvua hiyo ni pamoja na Sinza, Afrika-Sana na Bamaga-Mwenge ambapo mwanahabari wetu alishuhudia wananchi wakipata usumbufu wa kuvuka barabara zilizojaa maji hali ambayo imesababisha washindwe kufika katika shughuli zao kwa wakati.
ENDELEA KUTAZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI






No comments:
Post a Comment