HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » JAJI LUBUVA ANENA MAZOTO KUHUSU UPOTOSHWAJI WA MATOKEO YA URAIS

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


Leo asubuhi Jaji Lubuva kabla hajaanza kusoma matokeo ngazi ya Urais ametolea ufafanuzi mambo kadhaa hasa suala la tume kutoa matokeo tofauti na matokeo yaliyopo majimboni. Lubuva kasema sio nia ya tume kwa wakati huu kuanza malumbano na vyama vya siasa au na wadau wengine lakini pale panapokuwa na upotoshaji mbaya, upotoshaji wa hali ya juu tume inalazimika kusema. 
Jaji Libuva kasema matokeo yanayosomwa na tume ya uchaguzi yamechakachuliwa kuhusu wagombea wa Urais si kweli, kinachosomwa kimehakikiwa kwa yale ambayo yametokea katika majimbo, hayo ndio yaliyokuwa yamehakikiwa wakiwemo mawakala wa vyama mbalimbali, fomu imetiwa saini kwenye majimbo wakiwemo mawakala na kinachosomwa ni kilekile kilichopo katika majimbo yote.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: