Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.
Muweka hazina wa TABOA Issa Nkya ndio ameongea na ITV na kusema wanatambua Wafanyakazi wao nao wanatakiwa kuungana na Watanzania wengine kupiga kura hivyo hii siku wameruhusu wakaitumie vizuri.
CHANZO: ITV TANZANIA
No comments:
Post a Comment