HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » DKT. TULIA ACKSON MWANSASU ASHINDA KWA KISHINDO KITI CHA NAIBU SPIKA WA BUNGE MJINI DODOMA LEO

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


 Mhe. Magdalena Sakaya akijieleza na kumba kura
 Dkt. Tulia Ackson Mwansasu akijieleza na kuomba kura
Dkt. Tulia Ackson Mwansasu akila kiapo katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mjini Dodoma leo bada ya kushinda nafasi ya  Naibu Spika wa Bunge, kwa kura 250 sawa na 71.2% dhidi ya mpinzani wake Mhe. Magdalena Sakaya aliepata kura 101 sawa na 28.8%. Picha na Sultani Kipingo wa Dodoma

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: