Droo ya Kupanga Mechi za Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya, imefanyika leo Ijumaa, Nchini Nyon, Switzerland ambayo ipo hapa.
Mechi ambayo inaonekana kuwa gumzo ni ile kati ya Barcelona dhidi ya Atletico Madrid zote za Hispania.

Habari ,Maisha ,Jamii ,Burudani ,Michezo
Tag:
Copyright (c) 2024 Gadiola Emanuel All Right Reserved
0784 643 633
No comments:
Post a Comment