HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » KONGAMANO YA DICOTA 2016 DALLAS, TEXAS LAENDELEA TENA IJUMAA

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


Bwn. Lunda Asumani akitoa maelekezo kwa wadau mbalimbali waliokuja kuongea kwenye kongamano la DICOTA 2016 linalofanyika Dalaas, Texas nchini Mrekani. Picha na Vijimambo/Kwanza production.
Rais wa DICOTA Ndaga Mwakabuta akielezea malengo ya DICOTA kwenye kongamano la DICOTA 2016 lililofanyika siku ya Ijumaa April 29, 2016 katika hotel ya Hyatt Regency.
Bob Townsend concel member wa mji wa Richardson, Texas akiongea machche.

Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Wilson Masilingi akisoma hotuba ya Mhe. Rais John Pombe Magufuli kwa Diaspora.
Balozi Anisa Mbega Mkuu wa kitengo cha Diaspora Wizara ya mambo ya nje, Ushirikiano Afika Mashariki , Kikanda na Kimataifa akisoma hotuba ujumbe kutoka Wizara hiyo.

 CHINI NI JUMUIYA BAADHI YA VIONGOZI WA JUMUIYA ZA WATANZANIA USA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: