HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » PENZI LA SHEMEJI SEHEMU YA AROBAINI NA SABA (47)

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.  



Nilishtuka na kupigwa na butwaa kusikia Shemeji ambaye kwa wakati huo alikuwa kahalalishwa kuwa mke wangu kuwa ni mjamzito. Kilichonishtua sio ujauzito bali kwenye mipango yangu bado sikufikilia kama nilipaswa kuishi na yule mwanamke Kwa muda mfupi niliopata kuwa naye kwenye mahusiano nilishagundua ataniendesha sana na pia hakuwa wife material bali mwanamke wa kugonga na kuacha 
Ila kwa sababu nilimfaham shemeji nje ndani upande wake wa pili ule wa ukatili,sikutaka kuonesha mshtuko ule hadharani " Waoooh! Tayali baby?" nikauliza " Ndiyo baby ila mbona umechukua muda mrefu kujibu? Ulikuwa unafikilia nini?" akauliza " Hakuna kitu baby,jambo la heri hilo itabid tushelekee" nikasema 
Niliuvaa uigizaji halisi na kumvagaa kisha nikamporomoshea mvua ya mabusu sehemu mbalimbali za mwili wake Na yeye akafurahia na kuanza kujibu mapigo na tukaendelea kuandaana pale pale bafuni Shemeji alininyenyua na kunipeleka kwenye bomba la kuogea kisha akafungulia maji na kuanza kunipa style zake zile za kitotatota Alipanua miguu na kunyenyua mmoja akauzungusha kiunoni pangu kisha yale maji mithili ya mvua yakawa yanatulowanisha pale 
Nilikuwa sijisikii kufanya mapenzi kwa sababu bado akili yangu iiwaza lile swala la mimba yake Ila jinsi alivyokuwa akibadilisha mikao kwenye ile style yake ya kitotatota nilijikuta nanogewa mwenyewe na kujibu mashambulizi kwa speed kubwa Kitotatota style ilikuwa kitotatota kweli kwa sababu mechi ilipigwa sehemu zote za kitotatota mpaka kwenye sinki za kuogea Tulipomaliza ile ngwe ya kazi yetu ambayo ilikula muda wetu mrefu tulielekea kulala huku nikiwa nimechoka sana 

Shemeji alinikanda na mafuta laini ya kukandia mpaka nikapitiwa na usingizi Asubuh yake tulipoamka tulikuta tayal Joan katengeneza chai tukanywa na kisha kuelekea kazini Jinsi Joan alivyokuwa ananitrazama mwenyewe nilijua nikikomaa lazima nitang'oa ule mzigo Tukiwa kazini Shemeji alionesha furaha muda wote wa kazi kwa sababu ya lile swala la ujauzito wakati mimi lilinisumbulia sana akili " Yaan! 
Furaha yangu haina kipimo" alisema " Kwa nini baby?" nikamuuliza " Hujui honey?" akajibu "Kwa sababy ya ujauzito?" nikauliza huku nikijua ndiyo jibu " Ndiyo baby,unajua hakuna kitu nilichokuwa nakitaman kama kuwa na mwanangu kwa sababu ndugu yangu pekee hapa Duniani ni mama na alishafariki" akasema " Na Joan?" "
 Yule sio ndugu yangu wa kuzaliwa,ni mama yangu alimchukua kituo cha watoto yatima na kuamua kumsaidia" akajibu Jibu hilo liliongeza furaha kwenye akili yangu " Kumbe sio ndugu wa damu? Poa nalamba mzigo fasta" nikajisemea Mchana nilimdanganya shemeji kuwa kuna rafiki yangu aliniambia Kigamboni kuna kiwanja kinauzwa bei sawa na bure hivyo naenda kukiangalia na yeye hakuwa na hiyana akaniruhusu Mguu wangu ulijikuta kwenye kizingiti cha pale nyumbani kwetu na kwa uzuri gari nikalipaki nje na kuingia mwenyewe 
Niliingia kimya kimya na kumkuta Joan jikoni akipika chakula cha mchana Akiwa hajaniona nilienda taratibu mpaka nikazungusha mikono yangu kwenye kiuno chake kisha nikampiga busu sikioni mpaka nikamuona kasisimka mwili " Eeee! Jaman shemeji ndiyo nini hiki?" aliuliza huku karembua jicho kutokana na ule msisimko " Kawaida shemeji,nambie?" nikajibaraguza " Poa,mbona mapema?" akauliza " Nimerudi hapa kuna jambo la muhimu sana ambalo sihitaji dadako afahamu nataka kuongea na wewe" nikwambia " Dadangu asifaham? La kheri kweli hilo??"akasema

ITAENDELEA JUMATANO

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: