Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.
Nilishtuka na kupigwa na butwaa kusikia Shemeji ambaye kwa wakati huo alikuwa kahalalishwa kuwa mke wangu kuwa ni mjamzito.
Kilichonishtua sio ujauzito bali kwenye mipango yangu bado sikufikilia kama nilipaswa kuishi na yule mwanamke
Kwa muda mfupi niliopata kuwa naye kwenye mahusiano nilishagundua ataniendesha sana na pia hakuwa wife material bali mwanamke wa kugonga na kuacha
Ila kwa sababu nilimfaham shemeji nje ndani upande wake wa pili ule wa ukatili,sikutaka kuonesha mshtuko ule hadharani
" Waoooh! Tayali baby?" nikauliza
" Ndiyo baby ila mbona umechukua muda mrefu kujibu? Ulikuwa unafikilia nini?" akauliza
" Hakuna kitu baby,jambo la heri hilo itabid tushelekee" nikasema
Niliuvaa uigizaji halisi na kumvagaa kisha nikamporomoshea mvua ya mabusu sehemu mbalimbali za mwili wake
Na yeye akafurahia na kuanza kujibu mapigo na tukaendelea kuandaana pale pale bafuni
Shemeji alininyenyua na kunipeleka kwenye bomba la kuogea kisha akafungulia maji na kuanza kunipa style zake zile za kitotatota
Alipanua miguu na kunyenyua mmoja akauzungusha kiunoni pangu kisha yale maji mithili ya mvua yakawa yanatulowanisha pale
Nilikuwa sijisikii kufanya mapenzi kwa sababu bado akili yangu iiwaza lile swala la mimba yake
Ila jinsi alivyokuwa akibadilisha mikao kwenye ile style yake ya kitotatota nilijikuta nanogewa mwenyewe na kujibu mashambulizi kwa speed kubwa
Kitotatota style ilikuwa kitotatota kweli kwa sababu mechi ilipigwa sehemu zote za kitotatota mpaka kwenye sinki za kuogea
Tulipomaliza ile ngwe ya kazi yetu ambayo ilikula muda wetu mrefu tulielekea kulala huku nikiwa nimechoka sana
Shemeji alinikanda na mafuta laini ya kukandia mpaka nikapitiwa na usingizi
Asubuh yake tulipoamka tulikuta tayal Joan katengeneza chai tukanywa na kisha kuelekea kazini
Jinsi Joan alivyokuwa ananitrazama mwenyewe nilijua nikikomaa lazima nitang'oa ule mzigo
Tukiwa kazini Shemeji alionesha furaha muda wote wa kazi kwa sababu ya lile swala la ujauzito wakati mimi lilinisumbulia sana akili
" Yaan!
Furaha yangu haina kipimo" alisema
" Kwa nini baby?" nikamuuliza
" Hujui honey?" akajibu
"Kwa sababy ya ujauzito?" nikauliza huku nikijua ndiyo jibu
" Ndiyo baby,unajua hakuna kitu nilichokuwa nakitaman kama kuwa na mwanangu kwa sababu ndugu yangu pekee hapa Duniani ni mama na alishafariki" akasema
" Na Joan?"
"
Yule sio ndugu yangu wa kuzaliwa,ni mama yangu alimchukua kituo cha watoto yatima na kuamua kumsaidia" akajibu
Jibu hilo liliongeza furaha kwenye akili yangu
" Kumbe sio ndugu wa damu? Poa nalamba mzigo fasta" nikajisemea
Mchana nilimdanganya shemeji kuwa kuna rafiki yangu aliniambia Kigamboni kuna kiwanja kinauzwa bei sawa na bure hivyo naenda kukiangalia na yeye hakuwa na hiyana akaniruhusu
Mguu wangu ulijikuta kwenye kizingiti cha pale nyumbani kwetu na kwa uzuri gari nikalipaki nje na kuingia mwenyewe
Niliingia kimya kimya na kumkuta Joan jikoni akipika chakula cha mchana
Akiwa hajaniona nilienda taratibu mpaka nikazungusha mikono yangu kwenye kiuno chake kisha nikampiga busu sikioni mpaka nikamuona kasisimka mwili
" Eeee! Jaman shemeji ndiyo nini hiki?" aliuliza huku karembua jicho kutokana na ule msisimko
" Kawaida shemeji,nambie?" nikajibaraguza
" Poa,mbona mapema?" akauliza
" Nimerudi hapa kuna jambo la muhimu sana ambalo sihitaji dadako afahamu nataka kuongea na wewe" nikwambia
" Dadangu asifaham? La kheri kweli hilo??"akasema
ITAENDELEA JUMATANO
No comments:
Post a Comment