HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » PICHA: MWILI WA PAPA WEMBA WAWASILI KINSHASA LEO

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


Sehemu ya Waombolezaji nchini Congo, wakipokea Jeneza lenye Mwili wa aliekuwa Mwanamuziki Mkongwe wa Rhumba, Marehemu Jules Shungu Wembadio Pene Kikumba Maarufu kwa Jina la Papa Wemba, ulipowasili kwenye Uwanaj wa Ndege wa Kimataifa wa Kinshasa, Nchini Congo ukitokea Nchini Ivory Coast. Marehemu Papa Wemba alifikwa na Umauti, katika moja ya Onyesho la Muziki wake, Jijini Abidjan Ivory Coast, hivi karibuni.
Sehemu ya Waombolezaji wakiwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kinshasa.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: