HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » WANAMITINDO WAPO TAYARI KUITIKISA DICOTA KWA VIVAZI AMBAVYO HAVIJAWAHI TOKEA

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


 Kutoka kushoto ni DariaMwakaramba kutoka Tanzania, Asya Idarous Khamsin toka Tanzania/Houston na Flora toka North Carolina ambao siku ya Ijumaa April 29, 2016 wataitikisa kongamano la DICOTA 2016 jijini Dallas kwa vivazi vya kukata na shoka kutoka Tanzania na hapa Marekani.
Wanamitindo wakiwa katika picha ya pamoja.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: