HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » YANGA YAIFUNGA MGAMBO SHOOTING 2-1 NA KUJIKITA KILELENI MWA LIGI

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


 Kipa wa Mgambo Shooting, Said Khamis akiokoa moja ya hatari langoni mwake katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara lwenye Uwanja wa Taifa. Yanga imeshinda 2-1. (Picha na Francis Dande)
Beki wa Mgambo Shooting, Salum Mlima akichuana na Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Wachezaji wa Yanga wakishangilia bao la kusawazisha.
Mshambuiaji wa Yanga, Amissi Tambwe akiwania mpira.
 Kikosi cha Mgambo.
 Kikosi cha Yanga.
Mahabiki wa Yanga wakishangilia timu yao.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: