Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Majisafi na
Majitaka jijini Dar es salaam (Dawasco) Mhandisi Cyprian Luhemeja akipokea
zawadi ya shilingi milioni 3.5 kutoka kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania Mh Dkt. John Magufuli baada ya kutangazwa kuwa mfanyakazi bora wa
mwaka kitaifa kwenye siku ya Wafanyakazi Dunia, Mei mosi iliyoadhimishwa kitaifa mkoani Dodoma.
No comments:
Post a Comment