Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.

Bi mkubwa aliondoka kule kwa mganga na kwenda moja kwa moja nyumbani kwake ili ajiandae kwa safari ya kwenda Tanga
Kabla ya kuondoka aliwapigia simu ndugu zake na mmewe na kuwataarifu kuwa ndugu yao amekamatwa kutokana na makosa ya kujeruhi na kubaka
Baada ya kuwataarifu ndugu wale alipanda gari na kuanza safari ya kwenda Tanga kushughulikia tatizo
Wakati akiiacha Segera akianza kupanda na njia ya kuelekea Tanga kilometa chache kutoka pale alishangaa kimuona mganga akiwa kasimama katikati ya barabara
Alishtuka na kushika breki kwa ghafla na kwa bahati nZuri Mungu akawa upande wake akafanikiwa kusimama bila kumfikia yule mganga
Mganga alicheka kwa sauti kubwa sana kisha akapotea
Bi mkubwa akahaha na kushuka kutoka kwenye gari na kuzunguka kila upande kuona kama atafanikiwa kumuona mganga ila hakumuona
UKITAKA KUSOMA STORY YA LEO AU ZILIZOPITA ZILIZOKAMILIKA NITAFUTE WHATSAPP KWA NAMBA HII 0713363965 UTATUMIWA
UKITAKA KUSOMA STORY YA LEO AU ZILIZOPITA ZILIZOKAMILIKA NITAFUTE WHATSAPP KWA NAMBA HII 0713363965 UTATUMIWA
ITAENDELEA JUMATANO



No comments:
Post a Comment