HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » VIDEO: BOT YAPANGA KUONDOA NOTI ZOTE ZA MIA TANO NDANI YA MIEZI 4 IJAYO

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


Benki kuu ya Tanzania (BoT)imepanga kuondoa noti zote za shilingi mia tano ndani ya miezi minne ijayo kutokana na uchakavu.

Mkurugenzi wa kurugenzi ya usimamizi wa mabenki Martian Kobelo amesema sarafu za shilingi mia tano zimeshasambazwa kuziba pengo la noti na wananchi wanapaswa kupeleka noti ili zoezi liende kwa haraka.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: