Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.
Mbunge wa jimbo la Mwibara Kangi Lugola amesema kitendo cha Serikali kutaka kutaka kodi kwenye mapato ya viinua mgongo vya wabunge hakikubaliki na kumtaka Waziri wa Fedha na Mipango Dk Phillip Mpango kukiondoa kifungu hiCcho katika bajeti kuu.
No comments:
Post a Comment