Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.
Pia
walitembelea Kituo cha Watoto Yatima Hamugembe chenye watoto 36 ambacho
kipo chini ya mwangalizi Bi. Saada ambacho kimepata matatizo kwa Nyumba
zake kuanguka chini na kuwapa na kuwafariji
Mwenyekiti
wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe
akisalimiana na Bi. Saada mwangalizi wa Watoto Yatima
Mhe. James Mbatia(wa kwanza kulia) akizungumza na wanakijiji wa Kibeta walipofikakuwajulia hali baada ya tetemeko la ardhi kulikumba eneo hilo.
Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia akipata Ndizi kwenye Soko la
Nyakanyasi wakati wa kuwatembelea Wahanga wa Tetemeko la Ardhi Bukoba
leo.
Sehemu ya Majengo katika Shule hiyo kwa sasa baada ya kutokea Tetemeko
Tetemeko likiwa limeharibu sana sehemu kubwa ya Kanisa katika Shule hiyo ya Ihungo iliyopo kilometa 8 kutoka Bukoba Mjini
Taswira ya sasa Wanafunzi wa Shule ya Ihungo wakijipanga kuondoka
Majumbani mwao baada ya Tetemeko la jumamosi kuwaathiri kiasi kikubwa na
kushinikizwa kufunga shule hiyo kwa wiki mbili kupisha kuangaliwa upya
kwa Shule hiyo kutokana na kuathiriwa na tetemeko.
Wakiwa Kanisani ndani, Kanisa lililojengwa miaka mingi iliyopita
Akiwa Kanisani hapo alipata muda akafahamu Viongozi mbalimbali katika
picha waliopitia katika kanisa Hilo linalotimiza miaka 125 hivi karibuni
lililozinduliwa mwaka 1892 likiwa ni kanisa la kwanza likifahamika
Kashozi Parish.
Mh. Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia pia alitembelea Kanisa la Kashozi
Kanisa
la Kashozi kwenye Taswira ambalo pia limepata shida kwenye Tetemeko la
Ardhi lililotokea hivi karibuni siku ya Jumamosi sept. 10, 2016.
PICHA NA MDAU WETU FAUSTINE RUTTA



No comments:
Post a Comment