HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» » » » WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR, MH. MAHMOUD THABIT KOMBO AKUTANA NA RAIS WA SHIRIKA LA ENGENDER HEALTH LA MAREKANI

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.


Rais wa Shirika la Engender Health la Marekani Ulla Muller ambae pia ni Mtendaji Mkuu (CEO) wa Shirika hilo akizungumza na Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo alipomtembelea Ofisini kwake Mnazimmoja Mjini Zanzibar, (kulia) ni Mkurugenzi Ufundi ambae ni Naibu mwakilishi wa Shirika hilo Tanzania Feddy Mwanga.
Maafisa waliofuatana na Rais wa Shirika la Engender Health kutoka Ofisi ya Dar es salaam wakifuatilia mazungumzo ya viongozi hao yaliyofanyika Ofisi ya Waziri wa Afya Mnazimmoja Zanzibar.
Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo akiahidi mashirikiano ya karibu na Shirika la Engender Health wakati wa mazungumzo yake na Rais na Mtendaji Mkuu wa Shirika hilo Ulla Muller Ofisini kwake Mnazimmoja Mjini Zanzibar.

Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akiagana na mgeni wake Rais na Mtendaji Mkuu wa Shirika la Engender Health Ulla Muller baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika Ofisini kwa Waziri Mnazimmoja Zanzibar. 
 

                                                          Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: