Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.
Mwaka 210- 209 kabla ya Kristo, mfalme wa kwanza wa China Qin Shi Huang aliamua kuchonga masanamu ya wanajeshi wapatao 8,000 ambao wangezikwa naye kwenye kaburi moja ili waweze kumlinda kwenye maisha ya baada ya kifo.

Imeandaliwa na Moses Mutente.
No comments:
Post a Comment