HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» » » Moto wakatisha uhai wa familia ya watu wanne

Watu wanne wa familia moja wamefariki dunia baada ya nyumba yao kuteketea moto.
Tukio hilo limetokea katika Kijiji cha Magwira, Kata ya Bwilingu wilayani Chalinze usiku wa kuamkia leo Machi 11, 2018.
Chanzo cha moto hakijajulikana ingawa imeelezwa kulikuwa na tatizo la umeme kuzima na kuwaka.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Jonathan Shanna amethibitisha tukio hilo akiahidi kutoa taarifa zaidi baadaye.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: