HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» » WANANCHI WALALAMIKIA UJENZI BARABARA BILA YA KUWA NA MITARO, NANYAMBA -MTWARA

Wakazi wa halmashauri ya mji wa Nanyamba mkoani Mtwara wamelalamikia tatizo la kukosekana kwa mitaro ya barabara za ndani za halmashauri hiyo hali inayopelekea maji kutuama kwa nyakati za masika . Ambapo barabara hizo ujengwa na kampuni ya SUMA.

HALI NI TETE ZAHANATI YA MUHUWESI, HUDUMA ZA AFYA ZA SUA SUA>>>

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: