TCAA KUFUNGA MFUMO WA USIMAMIZI WA TAARIFA ZA USAFIRI WA ANGA
Mkurugenzi Mkuu wa TCAA Bw. Hamza Johari (katikati) akisaini
Kandarasi ya Mkataba wa Utekelezaji wa Mradi wa Mfumo wa Usimamizi na
Utoaji wa Taarifa za Anga na Kampuni ya Indra Avitech wenye thamani ya
Tsh. Bilioni 9. Bw. Simon Masike alisaini kwa upande wa kampuni ya
Indra Avitech. Hafla hiyo iliyofanyika Makao Makuu ya TCAASeptemba 22,
2023.
Mkurugenzi Mkuu wa TCAA Bw. Hamza Johari (katikati),
Mkurugenzi Huduma za Sheria TCAA, Maria Makala (wa pili kulia),
Mwakilishi wa Kampuni ya Indra Avitech , Bw. Simon Masike(wa pili
kushoto) wakisani Kandarasi ya Mkataba wa Utekelezaji wa Mradi wa
Mfumo wa Usimamizi na Utoaji wa Taarifa za Anga na Kampuni ya Indra
Avitech wenye thamani ya Tsh. Bilioni 9 iliyofanyika Makao Makuu ya
TCAA Septemba 22, 2023.
Mkurugenzi Mkuu wa TCAA Bw. Hamza Johari (wa pili kushoto)
akikabidhiana mkataba na Mwakilishi wa Kampuni ya Indra Avitech, Bw.
Simon Masike mara baada ya kusaini Kandarasi ya Mkataba wa Utekelezaji
wa Mradi wa Mfumo wa Usimamizi na Utoaji wa Taarifa za Anga na Kampuni
ya Indra Avitech wenye thamani ya Tsh. Bilioni 9 iliyofanyika Makao
Makuu ya TCAA Septemba 22, 2023. Mkurugenzi Huduma za Sheria
TCAA, Maria Makala (wa pili kulia).
Mkurugenzi Mkuu wa TCAA Bw. Hamza Johari (katikati) pamoja
na Mwakilishi wa Kampuni ya Indra Avitech, Bw. Simon Masike ( wa pili
kushoto) wakionesha mkataba mara baada ya kusaini Kandarasi ya
Mkataba wa Utekelezaji wa Mradi wa Mfumo wa Usimamizi na Utoaji wa
Taarifa za Anga na Kampuni ya Indra Avitech wenye thamani ya Tsh.
Bilioni 9 iliyofanyika Makao Makuu ya TCAA Septemba 22, 2023.Wa pili
kulia ni Mkurugenzi
Huduma za Sheria TCAA, Maria Makala
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imesaini kandarasi ya mfumo wa usimamizi wa taarifa za anga na Kampuni ya Indra Avitech GmbH kwa ajili ya kuboresha usalama wa safari angani katika anga ya Tanzania kupitia utoaji wa taarifa za anga zenye ubora wa hali ya juu, salama na muhimu kwa wakati sahihi kwa wadau mbalimbali wa usafiri wa anga.
Akizungumza wakati wa hafla hiyo Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Hamza Johari leo Mamlaka hiyo imesaini mkataba wenye thamani ya Shilingi Bilioni Tisa kwa ajili ya kubuni, kusambaza, kusanikisha, kuunganisha, na kuzindua Mfumo wa Usimamizi wa Taarifa za Anga ambapo Mradi huu utatekelezwa kwa miezi 18.
Amesema sehemu ya mpango thabiti wa Usimamizi wa Taarifa za Anga (AIM) wa kuboresha mfumo wake wa taarifa za anga kwa kutoa usimamizi wa taarifa za anga kwa njia ya kisasa zaidi kwa kutoa na kubadilishana taarifa za anga za dijitali zenye ubora na kushirikiana na pande zote hivyo kuhakikisha usalama, utaratibu, na ufanisi wa urambazaji wa anga wa kitaifa na kimataifa.
“Lengo la utekelezaji wa Mradi wa Mfumo wa Usimamizi wa Taarifa za Anga ni kuboresha mfumo wa AIM katika kuboresha usahihi wa data, upatikanaji, na ufanisi kwa kuzingatia mahitaji ya Upandishaji wa Mfumo wa Anga wa Usafiri (ASBU), na kufuata viwango vya kitaifa na kimataifa.” Alisema Johari
Mkurugenzi Mkuu wa TCAA Bw. Hamza Johari (katikati)
akizungumza wakati wa kusaini Kandarasi ya Mkataba wa Utekelezaji wa
Mradi wa Mfumo wa Usimamizi na Utoaji wa Taarifa za Anga na Kampuni ya
Indra Avitech wenye thamani ya Tsh. Bilioni 9 iliyofanyika Makao Makuu
ya TCAA Septemba 22, 2023.
Mwakilishi wa Kampuni ya Indra Avitech, Bw. Simon
Masike akizungumza wakati Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania
(TCAA) waliposaini Kandarasi ya Mkataba wa Utekelezaji wa
Mradi wa Mfumo wa Usimamizi na Utoaji wa Taarifa za Anga na Kampuni ya
Indra Avitech wenye thamani ya Tsh. Bilioni 9 iliyofanyika Makao Makuu
ya TCAA Septemba 22, 2023.
Kaimu
Mkurugenzi Wa Huduma Za Uongozaji Ndege TCAA, Hamis Kisesa akizungumza
wakati Mamlaka ya Usafiri wa
Anga Tanzania (TCAA) waliposaini Kandarasi ya Mkataba wa
Utekelezaji wa Mradi wa Mfumo wa Usimamizi na Utoaji wa Taarifa za
Anga na Kampuni ya Indra Avitech wenye thamani ya Tsh. Bilioni 9
iliyofanyika Makao Makuu ya TCAA Septemba 22, 2023.
Mkurugenzi wa Idara ya Udhibiti Uchumi TCAA,Bw. Daniel
Malanga(katikati), Mkurugenzi wa Huduma za Mamlaka Bw. Teophory
Mbilinyi (kushoto) na Mkurugenzi Huduma za Sheria TCAA, Maria
Makala wakiwa kwenye hafla ya kusaini Kandarasi ya Mkataba wa
Utekelezaji wa Mradi wa Mfumo wa Usimamizi na Utoaji wa Taarifa za
Anga.
Meneja Uhusiano na Mawasiliano TCAA, Yessaya
Mwakifulefule(kushoto), Mkuu wa Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania
(CATC) kinachomilikiwa na TCAA, Aristid Kanje (katikati) na Afisa Mtoa
Taarifa za Anga Mwandamizi (TCAA) wakiwa kwenye hafla ya kusaini
Kandarasi ya Utekelezaji wa Mradi wa Mfumo wa Usimamizi na Utoaji wa
Taarifa za Anga.
Baadhi ya wadau mbalimbali wa uSafiri wa
anga wakiwa kwenye hafla ya
kusaini Kandarasi ya Mkataba wa Utekelezaji wa Mradi wa Mfumo wa
Usimamizi na Utoaji wa Taarifa za Anga.
Picha
za pamoja
Post a Comment