Mvua
iliyoanza kunyesha ghafla siku ya Alhamisi, Novemba 1, 2012 ilikaribia
kuharibu shughuli ya Rais Kikwete kuzindua miradi mbalimbali ya
maendeleo Jijini hapa.
Wanausalama
wakizunguka kurudisha wananchi waliokuwa wakiondoka eneo la mzunguko wa
Azimio la Arusha mara baada ya mvua kuanza kunyesha
Maaandalizi kabla ya kuanza kwa shughuli rasmi uwanja wa Sheikh Amri Abeid
Wananchi wakikimbia mvua
No comments:
Post a Comment