HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » PONDA AWATIKISA MAASKARI MAHAKAMANI

 Ulinzio uliimarishwa katika eneo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam wakati kesi ya Sheikh Ponda Issa Ponda
 Watu waliofika kusikiliza kesi zao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu walipekuliwa na walinzi
 Ponda akiwa Mahakamani
 Askari Magereza akimfunga pingu Sheikh Ponda Issa Ponda baada ya kesi yake kuahirishwa hadi tarehe 29 novemba.
 Watuhumiwa wakiwa mahakamani
 Sheikh Ponda Issa Ponda akizungumza na wakili wake
Sheikh Ponda Issa Ponda akirudishwa rumande

CHANZO: HABARI MSETO BLOG

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: