HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » AFARIKI AKIWA ANAKATA MTI KARIBU NA NYAYA ZA UMEME

Hii ndo seheme alipojiegemeza baada ya kurushwa na umeme kutoka kwenye nguzo maeneo ya Iringa Road jina lake halikufahamika haraka kwani sio mwenyeji wa eneo ilo

Askari wakimfunga mkanda kwenye miguu na kifua na jina lake alikufahamika haraka
Akipakiwa kwenye gari baada ya kushushwa na wasamalia wema pamoja na maasikari kusaidia tukio ilo
Marehemu akishushwa toka kwenye mti baada ya kugusa nyaya za umeme mkubwa wakati anakata mti ulio karibu na hizo nguzo


Mwili wa kijana huyo ukiwekwa vizuri kwenye gari ili kupelekwa hospitali ya mkoa wa Dodoma
Wasamalia walitoa khanga ili kumfunika kijana huyo
Maasikari wakiondoka kwenye tukio na mwili wa wa huyo kijana maana jina alikufahamika haraka kwani si mwenyeji wa Iringa Road

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: