| Hii ndo seheme alipojiegemeza baada ya kurushwa na umeme kutoka kwenye nguzo maeneo ya Iringa Road jina lake halikufahamika haraka kwani sio mwenyeji wa eneo ilo |
Askari wakimfunga mkanda kwenye miguu na kifua na jina lake alikufahamika haraka
Akipakiwa kwenye gari baada ya kushushwa na wasamalia wema pamoja na maasikari kusaidia tukio ilo
Marehemu akishushwa toka kwenye mti baada ya kugusa nyaya za umeme mkubwa wakati anakata mti ulio karibu na hizo nguzo
Mwili wa kijana huyo ukiwekwa vizuri kwenye gari ili kupelekwa hospitali ya mkoa wa Dodoma
Wasamalia walitoa khanga ili kumfunika kijana huyo
Maasikari wakiondoka kwenye tukio na mwili wa wa huyo kijana maana jina alikufahamika haraka kwani si mwenyeji wa Iringa Road



No comments:
Post a Comment