RAIS KIKWETE ATUNUKU KAMISHENI KWA MAAFISA WANAFUNZI 192 NA KUFUNGUA MAKTABA YA CHUO CHA MAFUNZO YA KIJESHO MONDULI JANA

 
Amiri Jeshi  Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika uwanja wa gwaride wa Chuo Cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli, Arusha, jana Jumamosi Desemba 15, 2012 tayari kutunuku kamisheni kwa maafisa wanafunzi 192 waliohitimu chuoni hapo.

 
Amiri Jeshi  Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua  gwaride la  maafisa wanafunzi katika Chuo Cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli, Arusha, jana Jumamosi Desemba 15, 2012 kabla ya kuwakutunuku kamisheni maafisa hao 192 waliohitimu chuoni hapo.
 
Amiri Jeshi  Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa jukwaa kuuna maafisa wakuu wa jeshi
 
Gwaride la  maafisa wanafunzi katika Chuo Cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli, Arusha, jana Jumamosi Desemba 15, 2012 wakati wa  kuwakutunuku kamisheni maafisa hao 192 waliohitimu chuoni hapo.
 
Amiri Jeshi  Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitunuku kamisheni kwa  maafisa wanafunzi 192  katika Chuo Cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli, Arusha, jana Jumamosi Desemba 15, 2012
 
Amiri Jeshi  Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kufungua rasmi kamtaba ya kisasa  katika Chuo Cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli, Arusha,jana Jumamosi Desemba 15, 2012 baada ya kuwakutunuku kamisheni maafisa hao 192 waliohitimu chuoni hapo.
 
Amiri Jeshi  Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitembelea Maktaba ya  kisasa  katika Chuo Cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli, Arusha, jana Jumamosi Desemba 15, 2012 baada ya kuwakutunuku kamisheni maafisa hao 192 waliohitimu chuoni hapo.

 
Amiri Jeshi  Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakitembelea bweni namba 15 ambamo Rais Kikwete alikuwa akiishi wakati akiwa mafunzoni hapo  katika Chuo Cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli, Arusha, jana Jumamosi Desemba 15, 2012 kabla ya kuwakutunuku kamisheni maafisa hao 192 waliohitimu chuoni hapo.
Mheshimiwa Rais naomba kukupiga picha msichana Shalom anamwambia Amiri Jeshi  Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete   katika Chuo Cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli, Arusha,jana Jumamosi Desemba 15, 2012 baada ya kuwakutunuku kamisheni maafisa hao 192 waliohitimu chuoni hapo.

 PICHA NA IKULU

No comments

Powered by Blogger.