Rais
Jakaya Mrisho Kikwete na mgeni wake Rais Mwai Kibaki wa Kenya
wakiongozwa na Meya wa Kinondoni Mstahiki Yusuph Mwenda kutembea hatua
chache kabla ya kuzindua rasmi jina la Barabara ya Mwai Kibaki
linalochukua nafasi ya jina la barabara ya Old Bagamoyo leo
Rais
Mwai Kibaki wa Kenya akifunua pazia, akishuhudiwa na mwenyeji wake Rais
Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli na Meya
wa Kinondoni Mstahiki Yusuph Mwenda akizindua rasmi jina la Barabara
ya Mwai Kibaki linalochukua nafasi ya jiba la barabara ya Old Bagamoyo leo Februari 21, 2013.
![]() |
| Vifijo na nderemo baada ya uzinduzi huo. |
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mgeni wake Rais Mwai Kibaki wa Kenya
muda mfupi kabla ya kufanya mazungumzo rasmi Ikulu jijini
Dar es Salaam jana jioni.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwatambulisha kwa rais Mwai Kibaki baadhi ya
Mawaziri waliohudhuria dhifa ya kitaifa ikulu jinni Dar es Salaam
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akigonga glasi na mgeni wake Rais Mwai Kibaki wa
Kenya wakati wa dhifa ya kitaifa aliyoiandaa Ikulu kwa heshima ya Rais
Kibaki aliyeko nchini kwa ziara yaka ya mwisho ya kiserikali.
PICHA KWA HISANI YA MICHUZI






No comments:
Post a Comment