
Jackson Simbo anayedaiwa kumgonga kwa gari
marehemu trafiki Elikiza Nko akitolewa mahabusu ili kupelekwa mahakamani kusomewa mashtaka yanayomkabili

Jackson Simbo anayedaiwa kumgonga kwa gari
marehemu trafiki Elikiza Nko akiingizwa mahakamani

Jackson Simbo anayedaiwa kumgonga kwa gari
marehemu trafiki Elikiza Nko wiki iliyopita akitafakari jambo ndani ya mahakama akisubili kusomewa mashtaka yake

Jackson Simbo anayedaiwa kumgonga kwa gari
marehemu trafiki Elikiza Nko wiki iliyopita maeneo ya Bamaga-Mwenge
jijini Dar ss Salaam amepandishwa kizimbani leo katika mahakama ya
Wilaya ya Kinondoni. Mshitakiwa huyo ameachiwa kwa dhamana hadi kesi
hiyo itakapo tajwa tena Aprili 15 mwaka huu



No comments:
Post a Comment