Kajala akiingia mahakamani ili kusomewa hukumu katika Mahakama ya Hakimu
Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo ambapo kesi yake ilitolewa hukumu ya kwenda
jela miaka 8 au kulipa faini ya sh. milioni 13. Kajala ambaye alilipiwa faini
hiyo na Wema Sepetu, alikuwa anakabiliwa na makosa ya kula njama, kuamisha umiliki wa nyumba iliyokuwa
imezuiwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali isiuzwe. (Picha na Francis Dande na GPL)
Kajala na mumewe, Faraja Chambo wakisubiri hukumu yao.
Kajala akitafakari jambo
Machozi yalimtoka baada ya kuhukumiwa kufungwa miaka nane (8) au kulipa shilingi milioni 13.
Baba Kajala (kushoto) akishauriana jambo na wasanii wa filamu na maswahiba wa mwanaye.
Msanii wa filamu, Kajala Masanja
akiwapungia mkono ndugu, jamaa na watu waliofika katika Mahakama ya Hakimu
Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo
Kajala akiwa na ndugu zake.
Msanii wa Filamu Mahsin Awadh akiwa na msanii mwenzake Elizaberth Michael 'Lulu'



No comments:
Post a Comment