Daladala likipita kwa tabu katika barabara ya Azikiwe Posta jijini Dar es Salaam leo.(Picha na Habari Mseto)
Mtaa wa Azikiwe ukiwa umefurika maji ya mvua.
Adha ya mvua gari likiwa limetumbukia katika chemba ya maji machafu.
Wasamaria wema wakisukuma gari la polisi lenye
namba PT 0314 baada ya kuzimika barabarani kufuatia mvua kubwa iliyonyesha
katika maeneo ya katikati ya jijini Dar es Salaam
Habari
zilizotufikiwa katika chumba chetu cha habari zinasema kuwa mvua kubwa
iliyoanza majira ya saa nne asubuhi imesababisha maafa baada ya mtu
mmoja kuzolea na maji ya mvua katika eneo la Tabata Reli jijini Dar es
Salaam.



No comments:
Post a Comment